Sunday 13 January 2019

KUSUASUA KWA MIRADI YA MAJI KYERWA NAIBU WAZIRI AAGIZA MKANDARASI KUONDOLEWA

...
Na mwandishi wetu-Kagera. Kufatia kusuasua kwa miradi ya maji wilayani Kyerwa na kushindwa kutoa huduma ya maji kwa wananchi wilayani humo,Naibu waziri wa maji Mhe.Jumaa Aweso amemuagiza mhandisi wa maji mkoa wa Kagera kumsimamisha kazi mkandarasi anayetekeleza miradi ya maji wilayani Kyerwa kutokana na kutokuwa na uwezo pamoja na vigezo. Naibu waziri ametoa agizo hilo januari 12 mwaka huu akiwa ziarani katika wilaya za Karagwe na Kyerwa ambapo imeonekena miradi mingi ya maji katika wilaya hizo ni kutokana na makandarasi wanaopewa kazi ya kujenga miradi hiyo kutokuwa na uwezo. Aweso…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger