Wednesday 2 January 2019

WALIMU NJOMBE WAMFAGILIA RAIS MAGUFULI

...
Na Amiri kilagalila Mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kutengua Matumizi ya Kikokotoo Kipya kwa Watumishi baada ya Kustaafu Chama Cha Walimu Mkoa wa Njombe kimempongeza Raisi kwa Utenguzi huo kwa kusema kuwa Rais Ametambua Shida wanazopiotia watumishi Mara baada ya Kustaafu. Akizungumza na mtandao huu Ofisini kwa hii Leo Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Mkoa wa Njombe Mekson Wizengo amesema Kwa kufanya Hivyo Raisi amerejesha imani na amani ya Mioyo ya Watumishi wa nchi hii wakiwemo walimu. “Msimamo wa chama cha…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger