Maputo, MSUMBIJI. Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja watu watatu raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linaoendelea kufanya matukio ya uvunjaji wa sheria na mauaji katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi hiyo. Taarifa ya waendesha mashitaka hao wa Msumbji imesema Andre Mayer Hanekom, raia wa Afrika Kusini na Watanzania Chafim Mussa na Adamu Nhaungwa Yangue, ni miongoni mwa viongozi za ngazi za juu wa genge hilo la…
0 comments:
Post a Comment