Wednesday 2 January 2019

DUDU BAYA KUKICHAFUA WASAFI?

...
Godfrey Tumaini anayefahamika kama Dudu Baya (Konki Masta) jina la kisanii ni miungoni mwa wasanii maarufu na wakongwe zaidi katika muziki wa kizazi kipya (Bongo fleva),pia ni msanii miungoni mwa waanzilishi na wajenzi wa muziki huu ambapo alivuma sana miaka ya 2000 na ngoma zake kali kama nakupenda tu,Mpenzi,nimeondoka na nyimbo zingine kadha wa kadha ambazo zilimuweka na zinaendelea kumuweka kwenye ramani ya muziki mpaka sasa.Lakini nje ya muziki Dudu Baya amejiweka wazi kwamba ni mpinga ushoga namba moja akifikia hatua ya kutaja watu kadhaa ambao alisema wanajihusisha na ushoga.…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger