Tuesday 22 January 2019

MKUU WA WILAYA YA CHEMBA AMPONGEZI MAGUFULI KUHUSU URASIMISHAJI ARDHI KWA VIJIJI VILIVYOPO KARIBU NA MAENEO YA HIFADHI.

...
Na.Mwandishi wetu. Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga ampongeza Mhe.Rais John Pombe Magufuli kwa hatua alizochukua kwa kuruhusu baadhi ya vijiji vilivyokuwa kwenye Hifadhi ya Taifa vyenye watu wengi vibaki na kwa upande wa vijiji vingine ambavyo vimesajiliwa kimakosa wakati vipo kwenye Hifadhi Wizara tatu husika ziweze kuwajibika katika maeneo husika yaliyopo kwenye Hifadhi . Mhe.Odunga “Ningependa kuomba ushirikiano kwa Wizara husika tatu ikiwemo Ofisi ya Rais-TAMISEMI,Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi zije ili tuweze kukaa kwa pamoja na Kamati ya…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger