Tuesday 22 January 2019

DC MJEMA APOKEA JENGO LA OFISI YA WALIMU KUTOKA SERIKALI YA JAPAN LENYE THAMANI YA DOLA ZA MAREKANI 94.5.

...
Na Heri Shaban MKUU wa wilaya ya Ilala sophia Mjema amekabidhiwa jengo la ofisi ya Walimu lenye thamani ya dola za Marekani 94.5 kutoka Serikali ya watu wa Japan pamoja na madarasa matatu Kwa ajili ya Shule ya Msingi Gogo iliopo Zingiziwa Wilayani Ilala. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salam jana ambapo Balozi wa Japan nchini Tanzania Shinichi Goto alimbidhi Mkuu wa Wilaya ya Ilala. Akipokea msaada huo wa jengo la Utawala Shule ya Gogo Sophia Mjema alipongeza Serikali ya Japan kwa Ushirikiano wao kusaidia kuunga mkono jitihada zinazofanywa na…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger