Tuesday 22 January 2019

TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA MSIMU WA 16 KURINDIMA FEBRUARI 7-10 ZANZIBAR.

...
Na.Mwandishi wetu. BUSARA Promotions ambao ni waandaaji wa Tamasha kubwa la muziki la Sauti za Busara ambalo ni la msimu wa 16 linatarajiwa kurindima kwenye viunga vya Ngome Kongwe Zanzibar kwa kushuhudia shoo 44 kutoka kwa wanamuziki wa hapa nchini na Ukanda wa Afrika. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf’ amebainisha kuwa mambo kwa sasa yamepamba moto na maandalizi yamekamilika kwa asilimia kubwa hivyo watu mbalimbali wajiandae kufika kulishuhudia. “Wadau na wapenzi wa muziki kutoka sehemu mbalimbali…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger