Tuesday 22 January 2019

KKKT NJOMBE SASA RUKSA KUUZA VIWANJA, ASKOFU MENGELE ATUMA SALAMU KWA WALIOKWAMISHA ZOEZI

...
Na Amiri kilagalila Kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania kanda ya nyanda za juu kusini limejipanga kuendelea na zoezi la uuzaji wa viwanja vinavyomilikiwa na kanisa hilo mkoani Njombe kutokana na maagizo ya kusitishwa uuzaji wa maeneo hayo lilitolewa na waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi alipokuwa mkoani Njombe siku chache zilizopita Askofu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya kusini Njombe Isaya Japhet Mengere amesema kuwa serikali kupitia wizara ya ardhi nyumba na makazi imeruhusu zoezi la uuzaji viwanja katika eneo linalojengwa chuo kikuu mjini Njombe…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger