Tuesday 22 January 2019

KK SHARKS WAICHAPA YANGA 3 - 2

...
Mlinda  mlango namba moja wa Yanga, Klaus Kindoki amekubali kuokota mipira mara mbili nyuma ya nyavu katika mchezo wa michuano ya SportPesa Cup ambao umechezwa Uwanja wa Taifa.

Yanga amecheza na KK Sharks ya Kenya na Kindoki amegeuka mara tatu baada ya kuanza mapema dakika ya 12 kuokota mpira nyuma ya wavu na kufanya hivyo dakika ya 36.

KK Sharks wamerejea kipindi cha pili wakiwa wanaongoza kwa mabao 2-0 ambayo wameyapata katika kipindi cha kwanza baada ya kushambulia sana lango la Yanga.

Kipindi cha pili dakika ya 87 Yanga wakapata bao la kufutia machozi kupitia kwa Amiss Tambwe na dakika ya 90 bao la pili kupitia kwa Makambo.

KK Sharks nao wakafanikiwa kufunga bao la 3 dakika ya 90.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger