Saturday 12 January 2019

HAKUNA MJASIRIAMALI MWENYE SIFA ATAKAYEKOSA KITAMBULISHO-DC NJOMBE

...
Na Amiri kilagalila Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth msafiri amezindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo kiwilaya na kuwahakikishia wote wanao stahili kupata vitambulisho kabla ya mwezi kumalizika. Akizungumza baada ya kuzindua zoezi hilo lililofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Njombe amesema kuwa mala baada ya kusajiliwa na kupata kitambulisho hicho hategemei kuona mjasiriamali yeyote akifanya shughuli zake katika maeneo yasiyokuwa rasmi. “zoezi hili linaendeshwa kwa maagizo ya muheshimiwa Raisi na leo sisi tunazindua sio mwisho lakini hatutalifanya kwa mda mrefu na tunatamani kufika mwisho…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger