Saturday 12 January 2019

OKWI NOOMA!! ANAIANDIKIA SIMBA BAO LA PILI DAKIKA YA 51

...

Mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi anafanikiwa kuonyesha thamani yake ya umataifa kwa kufunga mabao maridadi kabisa dakika ya 45 na 51 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya JS Saoura Uwanja wa Taifa.
Matokeo hadi sasa dakika ya 51 ni 2-0
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger