Thursday 26 June 2014

VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://4.bp.blogspot.com/-obRp0pUhVv4/UAKkTh1KKZI/AAAAAAAAQN8/KncwExHve-M/s1600/udsm.jpg


Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia  zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.


Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.

  Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
 1  University of Dar es Salaam . (UD)

 2  Sokoine University of Agriculture (SUA)

 3  Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)



 4  The Hubert Kairuki Memorial University

 5  St. Augustine University of Tanzania (saut)

 6  Tumaini University

 7  The University of Dodoma

 8  Ardhi University

 9  St. John's University of Tanzania

 10  Teofilo Kisanji University

 11  The State University of Zanzibar

 12  Mount Meru University

 13  Mzumbe University

 14  Zanzibar University

 15  The University of Arusha

 16  Muslim University of Morogoro

 17  International Medical and Technological University

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger