Saturday 28 June 2014

JOINT MASS-SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE-MAZIMBU KWA AJILI YA MITIHANI YA UE

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                        

Wanfunzi wa chuo kikuu cha sokoine kilichopo mjini morogoro jana wame fanya misa ya pamoja kwa ajili ya mitihani inaoenda kuanza hapo jumatatu.


Kwaya mbalimbali zilihusika katika kuhakikisha unakuwa ni usiku wenye baraka tele;Pia misa hiyo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwepo vijana kutoka main campus,kihonda,wami, na mzimbu yenyewe.

Pia uongozi huu wa blog unapenda kuwatakia MITIHANI MEMA YA UE.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger