Thursday 26 June 2014

USAJILI MAN UNITED:HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI.

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.

Klabu hiyo ya La Liga ilikataa ofa ya timu hiyo ya kocha Louis van Gaal, lakini baada ya mchezaji huyo kufuzu vipimo vya afya Carrington jana, dili hilo limekamilishwa.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 24 sasa anakuwa mchezaji wa kwanza kabisa kusajiliwa na Man United chini ya kocha mpya, van Gaal aliyerithi mikoba ya David Moyes Old Trafford.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger