Wednesday 25 June 2014

SUAREZ ANG'ATA MTU MENO-KOMBE LA DUNIA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOYLuis Suarez faces lengthy ban for biting Italy defender Giorgio Chiellini in World Cup clash as Fifa investigate
Jana tumeona mcheza wa soka umevamiwa na wasiopaswa kuwa uwanjani. Nimetania kwenye KwanzaJamii sports extra leo asubuhi kuwa Suarez unapoanza mpira alipaswa akamatwe na apelekwe kufungiwa kwenye matyndu ya wanyama wakali wafugwao!

Lakini ya Suarez yanatukumbusha mwaka 1995 pale Erick Cantona alipotoa ya mwaka , wakati man united ilipobanwa na hususan cantona mwenyewe alipobanwa vilivyo na beki wa crystal palace Richard Shaw, Cantona akaonekana kukosa uvumilivu, akamtia kabali ya shingo na akapigwa red card.
Alipokuwa akielekea chumba cha kubadilishia nguo, Cantona akamwona shabiki wa Crystal palace anayemzomea. Basi, Cantona akamrukia kwa mateke ya kunf-fu za usoni. Man United ikaamua kumfungia Cantona kwa msimu mzima...!
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger