Monday, 30 June 2014

TAZAMA PICHA 5 JINSI WANAFUNZI WA UDOM WALIPOKUWA WAKIGOMBANIA USAFIRI KURUDI MAKWAO BAADA YA CHUO KUFUNGWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY  Askari polisi anayelinda usalama wa abiria na mali zao katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani akijalibu kutoa maelekezo kwa wanafunzi wa UDOM waliofika kutafuta usafiri kituoni hapo na kukuta hali ya usafiri hailidhishi kutokana na uchache...
Share:

WIZI WA PIKIPIKI:DEREVA BODA BODA AUAWA KIKATILI NA KUPORWA PIKIPIKI YAKE!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Picha hii ni ya dereva boda boda mkazi wa kijiji cha ITAKA MBOZI aliye uawa...
Share:

MSAJILI WA VYAMA VINGI AKATAA MABADILIKO YA CHADEMA

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema...
Share:

MECHI KATI YA BRAZIL VS COLOMBIA: BRAZIL YAIFUNGA COLOMBIA MARA 15 KATIKA MECHI 25

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia mojawapo ya mabao aliyoifungia timu yake katika fainali zinazoendelea MECHI ya robo fainali baina ya Brazil na Colombia ni ya kwanza kabisa kwa timu hizo mbili za Amerika Kusini kupambana kwenye mashindano ya fainali za...
Share:

CCM YAWABEMBELEZA CUF KUREJEA BUNGE LA KATIBA-MWEZI WA NANE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar,Vuai Ali Vuai Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ali Vuai, amesema ikiwa wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba kutoka Chama cha Wananchi (CUF) hawatorejea bungeni, wataikosesha Zanzibar fursa za kiuchum...
Share:

MASAA MACHACHE KABLA YA MECHI YA ALGERIA NA GERMANY-KOCHA AKERWA NA SWALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                       Kocha Vahid Halilhodzic amesema swala kufunga au la ni la kibinfasi Kocha...
Share:

DR SALIM AFICHUA SIRI YA JT NA TUME YA WARIOBA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                                      ...
Share:

HAWA NDIO WASHINDI WA TUZO ZA BET 2014,BEYONCE ACHUKUA 3

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Pharrell Williams na Missy Elliot wakifungua shoo ya utoaji tuzo za BET usiku wa kuamkia leo jijini Los Angeles...
Share:

AVEVA ACHAGULIWA KUWA RAIS MPYA SIMBA SC

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Amin Bakhresa akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Simba S...
Share:

Sunday, 29 June 2014

TANGAZO LA ORODHA YA MAJINA YA KUITWA KAZINI 27 JUNI 2014,KWA WAOMBAJI WALIOFANYA USAILI TAR.05 HADI 06 JUNE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY1 SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na. EA.7/96/01/G/30 27 Juni, 2014 KUITWA KAZINI  Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 05 hadi 06 Juni, 2014 ...
Share:

MAJINA MAPYA YA VIONGOZI CUF TAIFA BAADA YA UCHAGUZI MKUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY 1.MWENYEKITI PROFESA IBRAHIM LIPUMBA 2.KATIBU MKUUU......MAALIM SEIF 3. Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mhe. Magdalena Sakaya. 4. Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Mhe. Nassor Ahmed Mazru...
Share:

MWENYEKITI WA CCM KATA YA BUSAMBALA BUTIAMA afariki dunia-baada YA MAJAMBAZI KUMUUA

Watu  wanadhaniwa  kuwa ni majambazi wamemuua kinyama kwa kupiga  risasi moja ya kichwani mwenyekiti  wa chama cha mapinduzi  kata ya Busambala wilayani Butiama mkoani Mara Bw Willison Opio mwenye umri wa miaka 6o huku kichwa chake kikisambaratishwa  kabisa...
Share:

HOTUBA YA MH.MIZENGO PINDA-WAZIRI MKUU WAKATIA AKIFUNGA SHUGHULI ZA BUNGE JANA DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY UTANGULIZI a)    Masuala ya Jumla Mheshimiwa Spika, 1.    Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutupatia uzima na afya hadi kufikia siku ya leo. Tumekuwepo hapa kwa takriban miezi miwili...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

TANGAZO KWA FORM IV WOTE MLIOKOSA NAFASI ZA KWENDA KIDATO CHA TANO 2014 ,SASA UTASOMESHWA BURE KABISA SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER Sponsorshi...
Share:

Saturday, 28 June 2014

NAFASI MPYA ZA KAZI-KUJITOLEA KWA MUDA

INNOCENT-THE BLOGGER-B...
Share:

MATOKEO BRAZIL NA CHILE:BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA,HONGERA CHILE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY WENYEJI Brazil wameitoa Chile kwa penalti 3-2 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia mjini Uwanja wa Belo Horizonte, kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 12...
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI - JUNI 29

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY &nbs...
Share:

MWANAMKE ASALIMISHA SHANGA ZA MAJINI KANISANI SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Katika hali ya kushangaza, mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Asnath Terevaeli hivi karibuni aliamua kukabidhi kanisani shanga za majini kwa kile alichodai kuwa, zimekuwa zikimtesa na kumfanya akose aman...
Share:

AJALI YA NOAH SINGIDA-WATATU WAFARIKI,KUMI WAJERUHIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Watu watatu wamekufa na wengine kumi wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noha kupasuka tairi ya nyuma na kubingirita mara tatu katika kijiji cha Januka manispaa ya Singida...
Share:

BAI LA NBS LAPATA AJALI-KIMARA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Muonekano wa mbele wa basi la NBS T719 AZC baada ya kugonga basi la Princes Muro T892 BUR lililokuwa likitokea Dar kwenda Mwanza eneo la Kimara...
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

ADA VYUO VYA UALIMU JUU,YAPANDA ZAIDI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY \Serikali imepandisha maradufu ada kwa wanafunzi wanaosomea ualimu kwenye vyuo vya ualimu nchini kuanzia muhula ujao wa masomo...
Share:

BARCELONA YAMWINDA SUAREZ

Licha ya kukabiliwa na marufuku ya FIFA ya miezi minne kwa kumng'ata mlinzi wa Italia Giorgio Chiellini Barcelona ya Uhispania haijakata tamaa ya kumsajili mshambulizi machachari wa wa Uruguay Luiz Suarez...
Share:

MBASHA NA FLORA-"MUNGU YUMWEMA SIKU ZOTE" BIFU LIMEISHA WASAMEHANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Stori: WAANDISHI WETU HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa! Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana, Risasi Jumamosi...
Share:

JAMAA AUAWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA TV NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28-30 ambaye hajafahamika jina lake wala makazi ameuawa na wananchi wanaodaiwa kuwa na hasira kwa tuhuma za wizi katika mtaa wa Muhongolo wilayani Kahama mkoani Shinyang...
Share:

DIAMOND PLATNUMZZ KATIKA BET AWARDS NYINGINE TENA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’. UMEKUCHA! Unaweza kusema kwa maana nyingine wakati wasanii kutoka Afrika watakapokuwa pamoja kwenye Ukumbi wa Nokia Theatre uliopo Los Angeles, Marekani katika sherehe za utoaji tuzo za BET 2014 kesho Juni 29.Macho na masikio yote yameelekezwa...
Share:

JAMANI NANOMBA TUMSAIDIE KIJANA HUYU-YEYOTE MWENYE UWEZO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY “Eeh Mungu sikia kilio changu unisaidie!” Ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moy...
Share:

JOINT MASS-SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE-MAZIMBU KWA AJILI YA MITIHANI YA UE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                                          Wanfunzi wa chuo kikuu cha sokoine kilichopo mjini morogoro jana wame...
Share:

Friday, 27 June 2014

WANAFUNZI UDOM WADAI PESA ZAO ZA FIELD,WATISHIA KUANDAMANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                        Kwa taarifa tulizozipata hivi punde ni kwamba ‘wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) wanajiandaa kuandamana kushinikiza kupewa...
Share:

TUHUMA ZA WIZI :MTU NA MKE WAKE WAVULISHWA NGUO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

"WANAMITINDO WA TANZANIA" WATAZAME HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

MAMA AMUUNGUZA MTOTO WAKE WAKUMZAA MDOMO JIJINI DAR ES SALAAM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu. Paulina, akiwa na majeraha ya moto midomon...
Share:

MARCIO MAXIMO:KOCHA WA YANGA AWA HABARI YA MJINI,KILA KONA MAXIMO SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kocha Marcio Maximo. WAKATI Gazeti la Championi linaanza kuripoti juu ya ujio wa Kocha Marcio Maximo mnamo Mei 24, ambapo pia ndiyo lilikuwa gazeti la kwanza kabisa kuripoti juu ya Mbrazili huyo kuja nchini kuinoa Yanga, ilionekana kama ni ndoto, hatimaye...
Share:

MAHABUSU GEITA WAVUA NGUO KUGOMEA HALA MBAYA GEREZANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mahabusu Mkoani Geita leo wameamua kuvua nguo,wakidai haki zao,uamuzi huo uliibua tafrani mpaka jeshi la Polisi kuingilia kat...
Share:

WEREMA AFUNGUKA:ADAI NINA WATOTO ALAFU NATUKANWA?,KASHFA YAINGIA SURA MPYA SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                           TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma Kusini,...
Share:

NECTA YATANGAZA,ALAMA ZA MITIHANI YA MOCK SASA KUTUMIKA KAMA CONTINUOS ASSESMENT

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MATOKEO ya Mtihani wa Majaribio (Mock) kwa mtihani wa Kidato cha Nne mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani, yatachangia alama 10 za Alama Edelevu (CA). Kwa utaratibu huu, matokeo ya mwisho ya mtahiniwa, yatatokana na asilimia 30...
Share:

VIDEO:ANGALIA JINSI SUAREZ ALIVYOFANYA TUKIO LA KUMN'GATA MCHEZAJI WA ITALIA UWANJANI

INNOCENT-THE BLOGGER-B...
Share:

PENNY, WEMA USO KWA USO-STUDIO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Katika hali isiyotarajiwa, mchumba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Wema Sepetu na aliyewahi kuwa mchumba wa msanii huyo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ walikutana studio na kila mmoja akamkwepa mwenzak...
Share:

NISHA AWAJIBU WANAOMWITA MCHAWI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOYStori: Gladness Mallya MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hay...
Share:

MZEE WA KANISA AKURUPUSHWA GESTI-BAADA YA KUFUMANIWA NA BINTI WA KIZAI KIPYA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Tumekwisha! Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka kuvunja amri ya sita na binti ambaye ni msanii chipukizi...
Share:

WABUNGE WANUKA RUSHWA-DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha...
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA

...
Share:

Thursday, 26 June 2014

SUAREZ AADHIBIWA MIEZI MINNE na MECHI TISA NJE,BAADA YA KUMN'GATA MCHEZAJI MMWENZAKE

Habari za hivi punde zinasema kuwa FIFA imemuadhibu Suarez kwa kumfungia mechi tisa...
Share:

MAZISHI YA SISTA ALIEUWAWA KWA KUPIGWA RISASI UBUNGO YAFANYIKA ANGALIA PICHA ZOTE HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY...
Share:

USAJILI MAN UNITED:HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao...
Share:

DOWNLOA WIMBO MPYA WA LINA NA HADIJA- MKE MENZANGU

INNOCENT-THE BLOGGER-B...
Share:

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMOND AKIIMBA TAARAB

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD>&g...
Share:

NGUMI BUNGENI:JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAINGILIA KATI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbil...
Share:

ANGALIA PICHA YETU YA SIKU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY     ...
Share:

VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa...
Share:

UKWELI KUHUSU MH.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA KUZUSHIWA KIFO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY TAARIFA TOKA BAGAMOYO Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na...
Share:

MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA JANA MKOANI GEITA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger