Sunday 19 June 2016

HIZI HAPA KOZI ZINAZOONGOZA KWA UGUMU CHUO KIKUU

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Ingawa wengi kwa knowledge ya kibinaadamu "ILI KULETA USAWA FLANI HIVI BILA UBAGUZI WOWOTE" watakwambia kozi zote ni sawa inategemea na kichwa chako lakini ukweli juu ya hili utabaki pale pale wadau,basi hizi hapa ni zile shahada ngumu duniani kuanzia ya kwanza kwa ugumu hadi ya mwisho kiugumu. 1.Quantum Physics
2.Electrical Engineering
3.Neuroscience
4.Medicine
5.Molecular Biology HAPA WANAFUNZI HUTUMIA ZAIDI YA MASAA 20 YA ZIADA KWA WIKI KUJISOMEA,NA BADO HATA
6.Organic Chemistry - "C" HAIPATI(kwenye medicine waliamua waondoe GPA kabisa,wenyewe wanaiita "UNCLASSIFIED".
7.Chemical Engineering
8.Computer Programming
9.Mechanical Engineering
10.Civil Engineering
11.Law

12.Mathematics
13.Foreign Language HAPA WANAFUNZI HUCHIMBA KATI YA 10-15 HOURS KUJISOMEA KWA WIKI.
14.Accounting
15.Economics
15.Industrial Arts
16.Graphic Design HAPA WANAFUNZI NI WATU FLANI HIVI WENYE VIPAJI HUTUMIA 7-10 HOURS KWA WIKUCHIMBA.
17.Philosophy
18.Nutrition
19.General Biology
20.Music HAPA WANAFUNZI HUTUMIA<10 HOURS KUJISOMEA KWA WIKI.
21.History
22.Literature
23.Political Science
24.Management
25.International Relations
27.Journalism
28.Cultural and Religious Studies
29.Criminal Justice
30.Social work
31.Psychology HAPA MTU ANAWEZA KUTUMIA < 5 HOURS KWA WIKI KUJISOMEA NA BADO AKATOKA
32.Marketing -NA FIRST CLASS

33.Education
34.Fine Arts
36.Physical Education

 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger