Monday 21 January 2019

SIASA ZAKWAMISHA UJENZI WA KITUO CHA AFYA HAMAI

...
Na,mwandishi Wetu Jumla ya milion 600 zilizotengwa kwenye  Mradi wa  ujenzi wa kituo cha afya Hamai wilayani chemba mkoani Dodoma  zimeshindwa kutumika ipasavyo kufuatia halimashauri kukosa wahandisi pamoja na kuchelewa kwa manunuzi ya vifaa vya ujezi na ufuatiliaji hafifu huku siasa zikichangia kwa kiasi kikubwa.   Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la ujenzi wa kituo hicho, Mganga Mkuu wa Wilaya ya chemba  Dk Olden Ngassa amesema moja ya changamoto imechangiwa na halimashauri kukosa wahandisi wa ujenzi kwa muda mrefu ambao ndio wasimamizi wakuu wa kazi za ujenzi pamoja na ushiriki…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger