Monday 21 January 2019

BILLIONI 5.4 KUJENGA MAGHALA MAKUBWA YA KISASA WILAYANI RUANGWA.

...
Na Bakari Chijumba, Mtwara. Utiaji wa saini kati ya Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa na Mkandarasi Tendar International constraction company limited, watakaotelekeza kandarasi yote ya ujenzi wa maghala ya kisasa wilayani Ruangwa Mkoani Lindi, umefanyika leo Jumatatu, 21 Januari 2019. Halfa fupi ya kusaini kandarasi hiyo imefanyika katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, ambapo jumla ya majengo nane muhimu yatajengwa, likiwemo jengo la utawala, maghala mawili, Kantini, Majengo ya kupimia uzito, Mnara wa kuwekea matanki ya maji na jengo kuhifadhia vitu vya umeme, ambayo yote kwa pamoja yanatarajiwa kukamilika ndani ya…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger