Wednesday 23 January 2019

SH 66.6 BILIONI ZAPITISHWA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO 2019/2020 MULEBA

...
Na Mwandishi wetu Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera leo hii limepitisha makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020 jumla ya Mapato ya kiasi cha Sh 66.6 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ya halmashauri hiyo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo Chrisant Kamugisha amewasihi wataalam kufanya kazi kwa weledi ili kuhakikisha mpango na bajeti iliyopitishwa katika Mkutano wa Baraza la Madiwani mapato yanakusanywa kwa asilimia 100 na hata kuvuka malengo. Amesema katika Mchanganuo wa mapato hayo Mapato ya ndani yatakuwa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger