Wednesday 23 January 2019

MTOTO MWINGINE AUAWA NJOMBE,SIMANZI YATANDA KWA WANANCHI .

...
Na.Mwandishi wetu Wananchi mjini Njombe wameiomba serikali kwa kushirikiana na vyombo vya usalama kudhibiti vitendo vya mauaji ya watoto wa umri kati ya miaka 4-9 ambavyo vinatajwa kuongezeka tangu mwezi desemba mwaka jana na kuendelea kutishia hali ya usalama mjini humo. Wananchi hao wametoa rai hiyo baada ya mwili wa mtoto mwingine wa jinsia ya kiume kuokotwa kando ya msitu wa asili wa nundu ulioko nje kidogo ya mji wa njombe. “Ni kweli kuna mtoto mwingine amekutwa amefariki pale msituni, tulipofika pale tulitoa taarifa kwa polisi wa kituo cha Uwemba…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger