Wednesday 2 January 2019

MHE. MABULA AKAGUA MIRADI YA MAJI YENYE THAMANI YA BI 46.81

...
Mbunge Jimbo la Nyamagana Mhe. Stanslaus Mabula afanya ziara ya kikazi MWAUWASA “Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority” *Mamlaka ya maji safi na Maji taka Jijini Mwanza* kukagua miradi saba ya maji inayotekelezwa katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza yenye thamani ya shilingi 46,810,000,000.00. Mhe. Mabula akiwa MWAUWASA amepokelewa na mwenyeji wake Kaimu Mkurugenzi Mhandisi. Magayane ambaye alipata fursa ya kutoa taarifa ya miradi yote inayotekelezwa na taasis hiyo matharani iliyopo katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza ikiwemo Ujenzi wa Tank la maji Nyegezi pamoja na ulazaji wake wa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger