Wednesday 2 January 2019

WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUHUJUMU UCHUMI

...
Na, Naomi Milton Serengeti Mongatoni Sururu(49) na Mashaka Machemba(33) wakazi wa Kijiji cha Mihale wilayani Bunda Mkoani Mara wamefikishwa mbele ya mahakama ya wilaya ya Serengeti kujibu mashtaka yao katika kesi ya Uhujumu Uchumi namba 1/2019 Akisoma mashtaka mbele ya Hakimu mkazi Felix Ginene mwendesha mashtaka wa Jamhuri Faru Mayengela alisema washitakiwa hao wanashitakiwa kwa makosa mawili kosa la kwanza ni kuingia ndani ya pori la Akiba kinyume na kifungu 15(1)(2)cha sheria ya wanyamapori namba 5/2009 Kosa la pili ni kupatikana na silaha ndani ya hifadhi kinyume na kifungu 17(1)(2)…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger