Tuesday 22 January 2019

WATOTO WA MAZINGIRA MAGUMU WAIANGUKIA SERIKALI

...
Na. Danson Kaijage-Dodoma. WATOTO wanaolelewa kwenye vituo jijini Dodoma wameiomba serikali kudhibiti taasisi,mashirika na watu binafsi wanaojihusisha na utapeli wa kivuli cha watoto yatima na kujipatia mamilioni ya fedha na misaada mbalimbali ambayo haiwafikii walengwa. Ombi hilo lilitolewa na watoto wanaolelewa katika kituo cha Shirika la Malezi Endelevu (SHIME) jijini Dodoma Raheli Rafael na Moses Tobias kwa niaba ya wezao wakati walipokuwa wakipokea misaada mbalimbali iliyotolewa na wanavyuo kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Wakizungumza baada ya kupatiwa misaada hiyo iliyotolewa na wanavyuo kutoka chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) watoto…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger