Sunday 20 January 2019

VIONGOZI WA DINI WAPEWA SOMO.

...
Na,Danson Kaijage-Dodoma ASKOFU wa Jimbo la Dodoma kanisa la Mlima wa Moto,Silvanusi Komba amewataka viongozi wadini kuhakikisha wanawafundisha waumini wao juu ya kufanya kazi kwa bidii badala ya kufundisha masomo ya utoaji tu. Akihubiri katika ibada ya Jumapili askofu Komba alisema mwaka 2019 ni Mwaka pekee wa watanzania kutambua umuhimu wa kufanya kazi kwa bidii badala ya kukaa vijiweni na kuilalamikia serikali. Kiongozi huyo wa Kiroho alisema kuwa apendezwi kuona waumini wa kanisani lake kuendelea kulalamika kwa madai kuwa maisha ni magumu. Akiwahutubia maelfu ya waumini kanisani hapo alisema kuwa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger