Tuesday 22 January 2019

SHUWASA YATOA KALENDA ZA 2019 KWA WAANDISHI WA HABARI MANISPAA YA SHINYANGA

...
Ofisa Mahusiano ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Shinyanga (SHUWASA), Nsianel Gelard ( wa kwanza kulia)  akimkabidhi Kalenda za mwaka 2019 Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club – SPC),Kadama Malunde kwa ajili ya Waandishi wa Habari waliopo katika Manispaa ya Shinyanga katika ofisi ya SPC leo Jumanne Januari 22,2019. Picha na Malaki Philipo - Malunde1 blog
Kulia ni Ofisa Mahusiano ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Shinyanga (SHUWASA), Nsianel Gelard akimkabidhi Kalenda za mwaka 2019 Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club – SPC),Kadama Malunde
Zoezi la makabidhiano ya kalenda likiendelea. Wa kwanza kulia ni Ibrahim  Mwita kutoka SHUWASA,Wa pili kutoka kushoto ni Mweka Hazina wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club – SPC), Stella Ibengwe.

Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club – SPC), Kadama Malunde akiwa ofisini baada ya kupokea kalenda kutoka SHUWASA
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger