
Kwa mujibu wa ITV, Mjumbe wa mtaa huo Bi Fortunata Mshindo amesema jana mchana yeye na wananchi wengine walipita katika eneo hilo na hakukua na kitu chochote huku pia akisisitizia uongozi wa manispaa kuweka taa katika eneo hilo ili kupunguza matukio ya kihalifu.
Maafisa wa Jeshi la Polisi walifika eneo la tukio wakauchukua mwili huo kwa uchunguzi zaidi
Chanzo ITV
0 comments:
Post a Comment