Wilaya ya Nyamagana ni miongoni mwa wilaya mbili Mkoani Mwanza zinazonufaika na Mradi wa usafi wa Mazingira unaotekelezwa na shirika la Maji safi na maji taka MWAUWASA Mwanza Urban water Supply and Sanitation Authority, Kwa ujenzi wa Vyoo bora na Vya Kisasa katika shule 14, Zahanati moja ya Mkolani pamoja na Soko la Igogo. Akiongea katika ziara maalum MWAUWASA Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo la Nyamagana kukagua mradi wa usafi wa mazingira shule ya Msingi Mlimani, amesikitishwa na hali chafu ya mazingira ya vyoo vipya na kuwataka watendaji wa serikali…
0 comments:
Post a Comment