Sunday 20 January 2019

KIKUNDI CHA VYAMA VYA SIASA CHAJITOSA KUSAIDIA DAMU HOSPITAL YA NYERERE

...
Na,Naomi Milton Serengeti Kikundi cha ujamaa na ujirani mwema Serengeti (KICHAUMWESE) kinachoundwa na vyama vitano vya siasa kimejitokeza na kuchangia unit 18 za damu kusaidia wahitaji mbalimbali katika Hospitali Teule ya Nyerere ddh Hospital hiyo bado ina changamoto kubwa ya uhitaji wa damu hasa kwa makundi maalum kama vile mama wajawazito na watoto lakini pia kwa watu majeruhi ambao hupata ajali Katika mkutano wao mkuu uliofanyika wilayani Serengeti wanakikundi walikabidhi hati ya usajili kwa katibu Tawala wilaya Cosmas Qamara aliyemwakilisha Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu na kuahidi kuendeleza…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger