Na Allawi Kaboyo Bukoba. WAZIRI wa Mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola,amesema kitu kinachomuumiza kichwa katika wizara yake ni Idara ya huduma za uangalizi na probesheni licha ya kuwa na watumshi wengi katika wizara hiyo. Alitoa kauli hiyo Jana wakati akipokea taarifa za idara hiyo Mkoani Kagera ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake mkoani humo kwa muda wa siku saba atakaoumaliza. Waziri Lugola,alisema watumishi wa wizara hiyo wizarani ni 160 lakini shughuli zake hazifahamiki kwa jamii. Alisema kwa hali ilivyo Wizara inamzigo wa kuibeba idara hiyo…
0 comments:
Post a Comment