Tuesday, 16 July 2019

Viwanja Vyenye huduma zote Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

...
Viwanja Vyenye huduma zote Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Viwanja vizuri sana, vina umeme na maji, na majirani wa maana. Vipo mtaa wa Kimele B umbali mdogo kutoka Baobab sec...
Viko umbali wa mita 400 tu kutoka barabara kuu ya Mapinga to Kibaha, ambayo imepewa kiwango cha Lami.

Viwanja viko 6 tu, vipo vya 20/25 mita kwa tsh 8m, 25/28 kwa tsh 11m, sqm 2000 kwa tsh 25m na sqm 2400 kwa tsh 30m. Wahi upate kiwanja bora cha makazi au biashara.

Na Bunju kipo kiwanja cha 25/25 kwa tsh 20m na sqm 1750 kwa tsh 51m

Kwa taarifa zaidi, call 0758603077 au whatsap 0757489709


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger