Saturday 27 July 2019

RAIS MAGUFULI AREJEA DAR KWA TRENI AKITOKEA RUFIJI BAADA YA KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UMEME

...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiagana na wananchi katika stesheni ia Kisaki wakati akiondoka kwa treni ya TAZARA iliyomchukua kwenda na kurudi kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa kuzalisha umeme MW 2,115 wa Rufiji katikati ya mkoa wa Pwani na Morogoro Ijumaa Julai. 26, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli akiagana na dereva wa treni ya TAZARA iliyomchukua kwenda na kurudi kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa kuzalisha umeme MW 2,115 wa Rufiji katikati ya mkoa wa Pwani na Morogoro Ijumaa Julai. 26, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akizungumza na wafanyakazi wa TAZARA alipowasili stesheni ya Dar es salaam baada ya kwenda na kurudi kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa kuzalisha umeme MW 2,115 wa Rufiji katikati ya mkoa wa Pwani na Morogoro Ijumaa Julai. 26, 2019
PICHA NA IKULU
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger