Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akishirikiana na waomboleza kubeba mwili wa Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akiweka udongo kwenye kaburi la Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
0 comments:
Post a Comment