Friday 1 February 2019

WATENDAJI WAPEWA ONYO KALI UGAWAJI VITAMBULISHO AWAMU YA PILI KAGERA

...
Na mwandishi wetu Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti amegawa vitambulisho 35,000 awamu ya pili kwa Wafanyabiashara Wadogo katika Mkoa wa Kagera na kuwaagiza Watendaji wa Serikali chini ya usimamizi wa Wakuu wa Wilaya kuendelea na zoezi la ugawaji wa vitambulisho hivyo na kuhakikisha ifikapo Februari 28, 2019 vitambulisho vyote viwe vimegawiwa kwa Wafanyabiashara Wadogo. Katika zoezi fupi la kukabidhi vitambulisho hivyo 35,000 vya awamu ya pili kwa Wakuu wa Wilaya iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Februari 1, 2019 Mkuu wa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger