Friday 1 February 2019

MWANANCHI YEYOTE ATAKAYEUWAWA NINAANZA KUSHUGHULIKA NA MWENYEKITI WA MTAA HUO-OLESENDEKA

...
Na Amiri kilagalila Mkuu wa mkoa wa Njombe CHRISTOPHER OLESENDEKA amewaagiza viongozi wa serikali za mitaa wakiwemo wenyeviti wa vijiji kuhakikisha wanashiriki katika zoezi la kutoa taarifa za wahusika wa mauaji mkoani Njombe huku akiapa kuanza kushughulika na viongozi hao wa vijiji endapo yatatokea mauaji yanayofanana na yaliyotokea mkoani humo. OLESENDEKA alitoa maagizo hayo hii leo katika viwanja vya polisi mjini makambako wakati akizungumza na mamia ya wananchi wa mji huo kwa lengo la kuwaomba wananchi kuonyesha ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama katika kushiriki kuwafichua wanaohusika katika mauaji…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger