Tuesday 26 February 2019

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KUMALIZA TATIZO LA VYUMBA VYA MADARASA

...
Na Allawi Kaboyo. kufatia kuwepo kwa uhaba wa vyumba vya madarasa na kupelekea uwepo wa mrundikano wa wanafunzi katika shule za sekondari Tunamkumbuka na Butulage zilizopo halmashauri ya wilaya Bukoba mkoani Kagera, wananchi katika maeneo hayo waliamua kuanzisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa kila shule ambapo serikali imewaunga mkono kwa kuwapelekea kila shule shilingi milioni 25 ili kumalizia ujenzi huo. Akiwaelezea wananchi upatikanaji wa fedha hizo wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi ulipofikia Februari 25 mwaka huu mwenyekiti wa halmashauri hiyo ambaye pia ni diwani wa kata…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger