Tuesday 26 February 2019

BILIONI 1.2 ZA BENK YA NMB KUTUMIKA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU KANDA YA ZIWA VICTORIA

...
Na mwandishi wetu Benki ya NMB kanda ya ziwa Victoria inatarajia kutumia zaidi ya Sh1.2 bilioni kuboresha mazingira ya utoaji huduma katika sekta ya elimu na afya kwenye mikoa iliyoko ndani ya kanda hiyo Kaimu meneja wa NMB wa kanda ya ziwa Abrahim Agustino alisema fedha hizo zinatumika kuweka samani katika shule za msingi na sekondari na kuboresha miundombinu katika vituo vya afya na Hospitali pale wananchi na viongozi wanapopeleka ombi la kusaidiwa nguvu zao Agustino alisema hayo jana wakati akikabidhi meza 62 na viti 62 vyenye thamani ya Sh…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger