Saturday 23 February 2019

MDEE AITWA POLISI

...
Mbunge wa Kawe (Chadema), Halime Mdee ameitikia wito wa Polisi Kinondoni jijini Dar es Salaam aliotakiwa kufika leo Jumamosi Februari 23,2019.

Mdee kupitia akaunti yake ya Twitter ameandika, “Nimepata wito wa kuitwa Polisi Oysterbay kwa mahojiano.”

“Mpaka sasa sababu ya wito ni nini. Ngoja tujongee.”

Baada ya ujumbe huo, Mwananchi limezungumza na Mdee ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) kujua kama amekwisha kufika na kujibu kwa ujumbe mfupi wa maandishi, “Niko kwa RCO. Nimepokelewa, Namsubiri.”
Chanzo - Mwananchi





Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger