Friday 1 February 2019

BILIONI 50.4 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA KWA MWAKA 2019/2020

...
Na Allawi Kaboyo Bukoba. Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya Bukoba mkoani Kagera, limepitisha bajeti ya zaidi ya shilling bilioni 50.4 kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2019-2020. Akisoma rasimu ya bajeti hiyo katika baraza la madiwani lililofanyika Januari 31 mwaka huu katika ukumbi wa halmashauri hiyo, afisa mipango wa halmashauri ya wilaya Bukoba JULIAN TARIMO ameeleza vipaumbele vilivyolengwa kuwa ni afya elimu maji na miundombinu pamoja na mambo mengine na kuwataka madiwani hao kuipitisha bajeti hiyo kwa kuwa inalenga maslahi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger