Monday 21 April 2014

Zaidi ya watu 20 wamefariki papo hapo kwenye ajali ya basi la Luwule

...

Zaidi ya watu 20 wamefariki papo hapo kwenye ajali ya basi la Luwule

wwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww 
Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia papo hapo na wengine wengi kujeruhiwa baada ya basi la LUWULE walilokuwa wakisafiri nalo kutoka Musoma kwenda Mwanza kuacha njia kugonga nyumba na kupinduka katika kijiji cha Itwimila wilaya ya Busega.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger