Saturday 26 April 2014

ONA UNAFIKI WA MOHAMED RAZA ALIVYOKUWA ANADAI SEREKALI TATU AKIWA ZANZIBAR

...

Wakuu.

Akiwa Zanzibar Mohamedi Raza alitokwa na povu la kudai serikali tatu na kusisitiza peoples power, lakini baada ya kufika Dodoma akaufyata! Wakati huo huo, gazeti la leo la Nipashe Uk 3 limemnukuu Mohamedi Raza akisema kuwa "...Njaa ndio iliyolazimisha Zanzibar kujiunga na jumuiya ya kitaifa ya kiislamu mapema miaka ya tisini...". Kwa maana hiyo aliyo yasema akiwa Zanzibar na kwenda kubadirisha msimamo baada ya kufika Dodoma nayo tuyape tafsri gani?

Bofya <HAPA >kuona Video ulivyokuwa anatetea Serekali tatu kabla ya Kuja Dodoma
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger