Tuesday 29 April 2014

ARSENAL WAZIDI KUJIKITA TOP 4, WAIZAMISHA NEWCASTLE 3-0

...

Arsenal wakishangilia ushindi wao usiku huu.
Bao la kwanza la Arsenal likifungwa na Laurent Koscielny dakika ya 26.
Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la pili dakika ya 42.
Olivier Giroud akihitimisha kwa bao la nne dakika ya 66.
Newcastle baada ya kipigo cha 3-0.
Mashabiki wa Newcastle wakiwa na bango la kumkataa kocha wao, Alan Scott Pardew.
WASHIKA bunduki wa London, Arsenal FC wamezidi kujihakikishia kubaki Nne Bora kwenye Ligi Kuu ya England baada ya kuibamiza bao 3-0 Newcastle usiku huu kwenye Uwanja wa Emirates jijini London.
Mabao ya Arsenal yamewekwa kimiani na Laurent Koscielny, Mesut Ozil and Olivier Giroud.
Kwa matokeo ya leo, Arsenal wamefikisha pointi 73 baada ya kucheza mechi 36 wakiwa nafasi ya nne huku anayewafuatia kwa nyuma Everton akiwa na pointi 69 baada ya mechi 36 wote wakibakiwa na mechi mbili mkononi.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger