Sunday 27 April 2014

Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand

...

Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bw.Mrimia Mchomvu (kushoto) akiongea na Viongozi wa Dini kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara waliofika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini, kabla ya kuanza ziara ya mafunzo ya gesi asilia na Mafuta nchini Thailand.Kushoto kwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu ni Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Sera na Mipango katika Wizara ya Nishati na Madini, Bw. Maseke Mabiki.  KUSOMA KWA KINA BOFYA HAPA...
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger