Wednesday 30 April 2014

Picha mbili za maamuzi ya Samuel Eto’o kuhusu ile ishu ya Dani Alves

...
Screen Shot 2014-04-30 at 10.44.39 AMUnaambiwa club ya Villareal imemfungia maisha yule shabiki ambae alionyesha kitendo cha kibaguzi kwa kumrushia ndizi Dani Alves, kitendo ambacho kilitafsiriwa kwa Alves kufananishwa na nyani.
Wachezaji kadhaa wamemsupport kwa ujasiri wake wa haraka na kula ndizi hiyo aliyotupiwa uwanjani alafu akaendelea na game kama kawaida ambapo miongoni mwa waliomsupport ni Neymar.
Mwingine alieonyesha support ni Samuel Eto’o ambae baada ya kuweka picha zake mbili akiwa kwenye magari yake ya kifahari na kuandika ‘samahani nilisahau kuuliza, kuna yeyote anataka kuwa nyani kama mimi?’
Screen Shot 2014-04-30 at 9.59.38 AM
Screen Shot 2014-04-30 at 10.00.49 AM
Screen Shot 2014-04-30 at 10.01.36 AM
Screen Shot 2014-04-30 at 10.08.23 AM
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger