Wednesday 23 April 2014

MBUNGE MTATA WA CCM DR. HAMIS KIGWANGWALLA AFUNGUKA TENA LEO SOMA HAPA LIVE!!

...
Hamisi Kigwangalla
"Leo nilikuwa kwenye mdahalo wa Katiba ulioandaliwa na Twaweza. Chief discussants tulikuwa mimi nikimuwakilisha KM wa CCM Ndg. Kinana, Mzee Warioba na Ndg. Julius Mtatiro.
Nilichojifunza kutokana na kauli za Mwenyekiti wa Tume Mzee Warioba ni kuwa, mapendekezo ya Serikali 3 yalijengwa kwenye msingi wa hoja nyepesi, na zaidi ilikuwa ni hisia na utashi wa Tume. Maswali; nani aliwapa mamlaka hayo? Sheria? Hayakujibika!"
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger