Thursday 24 April 2014

BATULI: MUDA WAKUVAA NUSU UCHI SASA...

...

Msanii wa Bongo Movies Ametoa ushauri kwa waigizaji wenzake wa kike kuwa Muda wa kuvaa nusu uchi na kupiga picha kuzitupia kwenye mitandao ili kupata umaarufu umekwisha, siku hizi ukivaa nusu uchi unaonekana Malaya tu...Amewaasa kuwa wafanye kazi na kutoa kazi zinazouzika sokoni ...Amewaambia kuwa wajifunze kutoka kwake kwani huwa anavaa vizuri uwezi kukuta picha zake za uchi uchi mitandaoni
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger