Thursday, 30 June 2016

MPYA:MKURUGENZI WA TBS ATUMBULIWA JIPU,PIA MENEJA WA FEDHA APIGWA CHINI

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage leo amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa shirika la Viwango Tanzania TBS Bwana Joseph B. Masikitiko ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili. Pia Waziri Mwijage ameagiza Bwana Emmanuel M. Ntelya Meneja wa Fedha, Mipango na Utawala wa TBS,...
Share:

KESI YA UCHOCHEZI:TUNDU LISSU APEWA DHAMANA,YAHAIRISHWA HADI AGOSTI 12 2016

  Mh Tundu Lissu apandishwa kizimbani Muda huu mahakama ya kisutu kwa zile tuhuma za maneno ya kuudhi, nunachokisubiri hapa ni maneno mengine yenye tafsiri nyingine kwa watu wengine atakayoitoa leo baada ya kupata dhamana panapo majaliwa. Ndio kwanza kumekucha mapambano yataendelea. UPDATES: Lissu...
Share:

UFAFANUZI KUHUSU SIFA, VIGEZO NA MASHARTI YA KUPATA MKOPO 2016/2017

  Habari zenu; Kwanza natumaini mu wazima wa afya,pia kwa upande wangu namshukuru Mungu nipo fresh kabisa. Leo nimeamua kufafanua kwa kina vigezo na masharti ya Kupata mkopo mwaka wa masomo 2016/2017. NANI ANAFAA KUPATA MKOPO? mwanafunzi anaehitaji mkopo lazima akidhi vigezo vifuatavyo; 1.yatima...
Share:

Breaking news:Wabunge wa CHADEMA Joseph Mbilinyi, Kubenea na James Millya wasimamisha kuhudhuria vikao vya Bunge

Wanajamvi wasalaam! Leo hii kamati ya haki,maadili na madaraka ya bunge leo inataraji kusoma taarifa ya shauri la Mbunge Joseph Mbilinyi baada ya kutoa ishara ya matusi bungeni na kunaswa na kamera za bunge! Tunataraji Mbunge Mbilinyi kupewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa vizazi na wabunge wa aina yake ndani na nje ya bunge! Kwakuwa Joseph Mbilinyi alitoa ishara ya matusi kwa bunge na wabunge...
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUNE TAREHE 30.6.2016

...
Share:

Polisi Yaua Majambazi Matatu Yaliyokuwa Yamejificha Katika Mapango ya Amboni

POLISI mkoani Tanga imewaua watu watatu katika mapigano ya risasi wanaodaiwa kuhusika katika mauaji ya watu jijini humo wakiwamo watu wanane waliochinjwa katika Kitongoji cha Kibatini, Kata ya Mzizima. Limewahakikishia wananchi kwamba eneo la Amboni yakiwemo Mapango ya Majimoto...
Share:

Wednesday, 29 June 2016

VIDEO:TUNDU LISSU AWEKWA RUMANDE,HII HAPA VIDEO ALIYOMUITA RAIS JPM DIKTETA UCHWARA

June 28 2016 Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alifikishwa Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa ajili ya kujibu tuhuma za uchochezi kupitia gazeti la mawio kwenye habari yenye kichwa kinachosema ‘Zanzibar Machafuko yaja’ dhidi...
Share:

BREAKING NEWS: WANAFUNZI 10 CHUO CHA BUGANDO WAFUKUZWA CHUO,BAADA YA KUKIUKA SHERIA ZA MITIHANI

Habari zilizotufikia ni kwamba wanafunzi  10 wa chuo cha Bugando wamefukuzwa chuo kutokana na kukamatwa wakiibia kwenye chumba cha mtihani. SOMA BARU HII HAPO CHINI; ...
Share:

Official VIDEO | Msaga Sumu Ft. Dogo Ninja - Unanitega Shemeji | Watch/Download

...
Share:

UHAMISHO FORM 5 2016:SERIKALI YAPIGA MARUFUKU

SERIKALI imesema shule zote zenye nafasi za wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano mwaka huu, zimejaa hivyo hakuna nafasi ya mwanafunzi kubadilishiwa shule au mchepuo aliochagua. Hayo yalibanishwa jana katika taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari mjini hapa na Msemaji wa Ofisi...
Share:

AJALI YA BASI:WATU WATANO WAFARIKI ,13 WAJERUHIWA JIJINI MWANZA

WATU watano wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali ya basi lenye namba za usajili T. 449 BCB mali ya kampuni ya Super Sami lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza.Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamikia leo katika eneo la Bashini Kata ya Mabuki Wilaya ya Misungwi mkoani...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO JUNE TAREHE 29.6.2016

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger