Saturday 2 February 2019

WANNE WAUAWA TENA NJOMBE

...
Na Amiri kilagalila Mtoto mwingine anayekadiliwa kuwa na umri kati ya miaka 7-10 aliyefahamika kwa jina la RECHAEL MALEKELA mkazi wa kijiji cha Matebwe wilayani Njombe amekutwa ameuawa kwa kuchomwa na vitu vyenye ncha kali mita chache kutoka nyumbani kwao. Akithibitisha tukio hilo mkuu wa wilaya ya Njombe RUTH MSAFIRI alisema kuwa ni kweli mtoto huyo amekutwa amefariki na walizipata taarifa hizo usiku wa kuamkia leo. “Mtoto huyo amechomwa chomwa na vitu vyenye ncha kali nadhani mtoto huyu alikuwa peke yake akitoka kwa mama yake na kuelekea kwa kaka yake…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger