Tuesday 12 February 2019

TAHA WAJIPANGA KUIFIKISHA TANZANIA OLIPINKI 2025

...
Na Stephen Noel Mpwapwa -Michezo. BARAZA la michezo Tanzania imetakiwa kuongeza nguvu Katika kuwekeza kwenye mchezo midogo midogo Kama mpira wa mikono (Handball) ili kuweza kumudu kuitangaza Tanzania Katika ulimwengu wa kimichezo sehemu mbalimbali ya ndani na nje ya nchi. Kauli hiyo imetolewa Mwenyekiti wa baraza la michezo na katibu tawala wa wilaya ya Mpwapwa Bi Salah Komba alipo kuwa akifunga Kongamano la mpira wa mikono lililo fanyika kwa siku tano wilayani Mpwapwa Kongamano hilo lililo andaliwa na Chama cha mpira wa mikono Tanzania (TAHA) kwa kuwajengea uwezo walimu wa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger