Na Amiri kilagalila Viongozi mbali mbali wa chama cha mapinduzi CCM wamewataka wanasiasa na watanzania kwa ujumla kuungana kwa pamoja katika kupambana na vitendo vinavyoendelea katika baadhi ya maeneo nchini yakiwemo mauaji ya watoto yaliyotokea mkoani Njombe kuliko kuendelea na siasa za uchochezi katika mataifa ya ughaibuni. Hayo yalisemwa na katibu mkuu wa umoja wa vijana Taifa ndg.Raymond Mwangwala wakati akizungumza na baadhi ya wazee na viongozi wa dini katika ukumbi wa Turbo uliopo Njombe mjini. “Wazazi wangu tumepoteza watoto hatuelewi ni nani alikuwa Rais katika hao,hatuelewi nani alikuwa mchungaji…
0 comments:
Post a Comment